tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, October 2, 2015

Chozi la mwanamke

Usimfanye mwanamke akalia, chozi la mwanamke
ni la gharama sana. Tone moja tu la chozi lake
linatoka na:
Kwanza linachanganyika na eye liner ya 45,000,
na mascara ya 63,000 halafu likifika kwenye
mashavu inachanganyika na foundation 220,000
na poda ya 37,000, na hatimaye likigusa midomo
inachanganyikana na lipstick 79,000 na lip gloss
14,000. Chozi moja tu la mwanamke linaondoka
na sh. 458,000 So plz usimlize mwanamke.
Lakini unaweza kumliza mwanaume utaondoa tu
vaseline ya mgando ya sh 2,500.

Friday, August 21, 2015

Sunshine

BOY: You are the sunshine of my life ,,,,,,,,, without you life is cloudy ,,,,,,,,,,, you are in my heart like rain ,,,,,,,,,, water for barren land.

GIRL: Is this a proposal or a "weather report" .......?

Thursday, July 23, 2015

Ajira Mpya

Mume baada yakufika nyumbani toka kazini akiwa amechoka akamkuta mke wake kanuna

Mume: Una tatizo ganii mamaa?

Mke: Mme wangu kwa kweli tokea upate hii ajira mpya nakosa amani, Nilikua nakupenda sana lakini nashindwa kuvumilia. Naomba unieleze ni nani anaitwa Alarm anapiga simu kila siku alfajiri tu na wewe unaikata haraka ili nisiskie maongezi yenu?

Sosi zako

KWENYE DALADALA SIMU YA ABIRIA INAITA.

Abiria: hellow, hellow, mke wangu...sikusikii.

(Ikabidi awake loudspeaker ya simu)

Upande Wa Pili:

Mke sasa: Sosi zako umezivulia wapi? Nyumba nzima inanuka.

Mganga wa Kienyeji

Kuna mdada nimegombana nae wiki iliyopita. Sasa kachukua namba yangu kabandika kwenye mti eti MGANGA WA KIENYEJI TOKA SUMBAWANGA. Sasa napata simu nyingi za wateja kila sekunde......

Farasi wako

Jost alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazet, ghafla akapigwa kwa mwiko uson na mkewe!

JOST: Vipi tena laazizi kulikon?

MKE: kwenye surual yako wakati najiandaa kuifua nikakuta kikaratasi kimeandikwa "JENNY", unaweza ukanieleza huyo JENNY ni nani kwako?

JOST: aaah! wiki ilopita nlikuwa kweny mashndano ya farasi, na Jenny ndo jina alobandikwa faras wangu yani farasi wangu aliitwa JENNY!

MKE: samahani mme wangu!

Siku ilofuata jost akiwa ameketi kwenye kochi huku akisoma gazeti, alishtukia tena mwiko wa uso "kwaaaa, kwaaaa!"

JOST: Uwiiiiiii! jaman laazizi kulikon tena?

MKE: faras wako kapiga simu!

Sura mbaya

MGONJWA : Dokta mi nina sura mbaya sana.

DOKTA : Si kweli mi nakuona una sura nzuri tu.

MGONJWA : Lakini kila mtu ananicheka na miaka yote
wanasema mi mbaya

DOKTA : Sikiliza nakuhakikishia kuwa wewe unavutia kabisa.

MGONJWA:Dokta najua unanifurahisha tu mi najijua mi mbaya

DOKTA :Achana na maneno ya watu we mwanaume mzuri
kabisa wewe, unafaa hata kwenye matangazo ya mwanaume wa
ukweli.

MGONJWA:Dokta mi mwanamke bwana

DOKTA : UMESEMA?

nitumie pesa

Girl: Baby nitumie pesa
Boy: Ndioooo tumia zote
Girl: hujanielewa, nimesema nitumie pesa.
Boy: we ndio hujanielewa, nimekuambia we tumia tu, tumia zote.

Japanese couple

A Japanese couple argued heavily in public.
Husband: takamushi jiku.
Wife: hashi jiku mishihe.
Husband: inamoto kushini hatapi.
Wife: jejeta takuna mota shinita.
Husband: kituya sitina kutara.
Wife:saka weretuna joku.
Husband: ji taka mushi.
Wife: totori yatika muniya.
You are still reading as if you understand Japanese, be serious!!

Wednesday, May 6, 2015

Some marriages

Some marriages start with words like"will you marry me beb?"While others start with"beb my dad told me to go back where I slept last night"

Wednesday, April 22, 2015

Catholic Priest

A Catholic Priest was dying in a hospital and asked the doctor to call a Police Officer & a politician .
Within minutes, the two appeared. He asked them to sit on either side of the bed.
The priest held their hands and kept quiet.
The guys were so touched and at the same time felt very important for being summoned by a priest in his dying moment. Out of anxiety, the politician ask, 'But why did you call us? ' The Priest gathered all his strength and said, 'Jesus died between two thieves.....I want to go the same way!!!

najitekenya

Nimekaa na mshikaji siti moja kwenye daladala, mshikaji bonge ya baunsa alafu anamokovu kama gogo la kukatia nyama buchani. amevaa heard phone masikioni naona anatikisa kichwa tu, ghafla kwa sauti kubwa nasikia anaimba "alinifunza mama niwaogope sana wanaume...." Nimeshindwa kuvumilia nimeweka mikono yangu yote kwapani nikaanza kucheka kwa nguvu kanijeukia kwa hasira akaniuliza "we dogo unacheka nini?" Nikamjibu kinyonge "najitekenya."

Whatsapp

Kule whatsapp kuna vituko watu na status zao;.
1. Mtu ameandika "Sleeping" , sasa leo siku
ya tano, si kishakufa huyu?
2. Mwingine kaandika "Driving" toka mwaka
jana Agosti, naona atakuwa anakaribia
Afghanistan saa hizi
3. Haya jamaa najua kalazwa anaumwa
lakini kaandika "Happy" we vipi ndugu
yangu?
4. Huyu mdada kaandika "Available". Sijui
anajua maana yake?
5. Mbosi huyu hajabadilisha status mwaka
wa pili sasa, "Hey there! I'm using
WhatsApp" sasa unadhani sijui?
Tungekutanaje kama hutumii Whatsapp?
6. Superstar wetu mmoja kaandika "Urgent
calls only". We vipi? Kwani we faya, au
ambulens au polisi?
7. Haka kabishoo kameandika "Can't talk,
WhatsApp only". Sasa una simu ya nini?
Si uitupe uwe unashinda Facebook? Simu
kazi yake ya kwanza kuongea sio
Whatsapp, pambafu we.
8. Huyu mshamba kaandika "At the movies"
wiki ya saba sasa, sinema gani ndefu
hivyo wewe? Au unafanya kazi ya kuuza
tiketi hapo sinema?
9. Dogo kaandika "At school" sasa
Whatsapp ya nini? Utapata Div O wewe
10. Mwezi wa pili sasa mchepuko umeandika
"Busy" hivi busy unafanya nini? Nikiacha
kukutumia credit utaanza kelele
11. Hahahahahaha eti "Battery about to die"
miezi sita mfululizo, badilisha hiyo betri?
Au mtaa wenu hakuna umeme miezi sita
hujachaji simu? Si kalalamikeni
TANESCO? Au nikununulie jenereta?
Unaudhi
12. Hivi najiuliza we mdada huu mwezi wa
nne sasa eti "At the gym" unajitayarisha
kwa Olympic
13. Bosi status yako ya "In a meeting"
mwezi mzima inachekesha, maliza huo
mkutano rudi kwenu.

Nitumie pesa

Girl : Baby nitumie pesa
Boy : Ndioooo tumia zote

japanese couple

A japanese couple argued heavily in public.
Husband: takamushi jiku.
Wife: hashi jiku mishihe.
Husband: inamoto kushini hatapi.
Wife: jejeta takuna mota shinita.
Husband: kituya sitina kutara.
Wife:saka weretuna joku.
Husband: ji taka mushi.
Wife: totori yatika muniya.
You are still reading as if you understand Japanese, be serious!!

Kilaza

Kuna kijana mmoja alikua anaitwa said kijana huyo shulen kwao wanafunzi wenzake hata mwalimu wake hakuna aliekua anampenda coz alikua kilaza sana...siku moja mama yake alikwenda shulen kwao kufuatilia maendeleo yake mwalimu wake hakumficha akamwambia ukweli kuwa tangu aanze kufundisha hajawah kufundisha mtoto kilaza kama huyo...mama yake akamuhamisha shule na kumuamisha mji kabisa.....miaka 25 baadae yule mwalimu alikua anaumwa na madaktar walimshaur kuwa njia pekee ya yeye kupona ni kufanyiwa operation ya moyo na dr pekee ni mmoja anaeweza fanya hio....mwalimu akafanyiwa operation vizur na alipozinduka alimuona daktar akitabasam mbele yake ghafla daktar alianza kushangaa mwalimu akinza kubadilika ghafla akakata roho yule dkt alipoangalia kujua nin tatizo akamuona said aliekua mfagiaji pale akichomoa waya wa oxygen na kuchomeka simu yake chaji
.....
Kama ulifikir doctor alikua said nawe ni kilaza

Wednesday, April 1, 2015

Kibuyu

Nilipokuwa shule ya msingi, kuanzia darasa la 4
hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani
zilikuwa zinacheza kwenye 03%-
08%. Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya
darasa!
Yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita
wanafunzi kwa kuanzia
maksi za chini kwenda juu (0-100),
kwahiyo darasa lote linajua makaratasi yakiletwa
lazima niitwe
kama si wa kwanza basi wa pili toka chini.
Siku moja mwalimu akaanza kuita majina, mpaka
akafikia kwenye maksi 30%,40%,50%,60%,70%
bado tu mi hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu
wakaanza
kuniuliza..."" Eeeh umepasua hujaitwa,
ilikuwaje??
Nlianza kuvimba kichwa, huku mwalimu
anaendelea kugawa tu makaratasi.
Yakabaki makaratasi ya watu wawili tu waliopata
80%-90% bado mi sijaitwa ...
Mara akabaki na karatasi moja mkononi...!!!!
Darasa lote macho kwangu hawaamini
kinachotokea maana bado
sijapata karatasi..
Mwishoni mwalimu akaangalia juu akashusha
pumzi, kisha
akasema... "KUNA LIKIBUYU" halijaandika jina
Limepata 0% aje kuchukua karatasi lake!!.

Wanafunzi wanafanya nini wanaporudi nyumbani.

Mwalimu anawauliza wanafunzi wake huwa wanafanya nini wanaporudi kutoka shule!?

Wa Kwanza; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Hermany kununua bangi!

Wa Pili; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua madawa ya kulevya!

Wa tatu; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua Gongo!

Wa nne; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua mirungi!

Wa tano; "Mm huwa nakaa tu nyumbani najisomea vitabu huku nafanya biashara ndogo ndogo za kunipatia hela ya matumizi.

Mwl; "Hongera sana kijana, una akili sana wewe! Unaitwa nani!?

Kijana akajibu; "Naitwa Paul Herman

Thursday, January 29, 2015

ATM

Bishoo aliingia kwenye chumba cha mazoezi ya viungo, akamuuliza mwalimu: ‘nataka kuvutia wasichana, natumia mashine gani?

Mwalimu wa mazoezi: tumia ATM

Msichana wa Kitanzania.

Msichana wa kizungu ataandika facebook: “nakupenda sana Tom”…. Msichana wa kitanzania nae ataandika: “nakupenda sana ……….. unajijua  mwenyewe sio lazima nikutaje”. Lini wasichana wa kitanzania wataacha kuuwa ndege wengi kwa jiwe moja?

kitu gani unataka.

Unamuuliza msichana wako kitu gani anataka, anakujibu pesa unakasirika. Ni suala la ufahamu na uelewa tu.

hajui kupika

Kama hujawahi kudokoa nyama kwenye sufuria mama yako akiwa anapika basi tambua hajui kupika.

girlfriend

If you have $20 and your girlfriend has $20,

that just means your girlfriend has $40

Mshauri wa Mahusiano.

Dear Aunt,
Naomba msaada wako nifanye nini? Mimi ni mke
wa mtu, na mume wangu tunapendana sana. Juzi
niliondoka kwenda kazini nikamuacha mume
wangu ana angalia TV. Sikufika mbali gari ghafla
likazima, nikalazimika kutembea kwa miguu
kurudi nyumbani nikamwambie mume wangu
anisaidie. Nilipofika nyumbani sikuamini macho
yangu baada kumkuta mume wangu na binti wa
jirani yetu. Nilimkabiri mume wangu na kwa
bahati nzuri kakubali makosa kuwa uhusiano wao
una mwaka sasa, lakini cha ajabu amesema
atalazimika kumuacha huyo binti pole pole ili
asimchanganye kisaikolojia kwa kuwa bado
mdogo. Je hii ni sawa? Nifanye nini? Naomba
ushauri wako Tafadhali.

Fransiska wa Mwenge.


JIBU
Binti yangu Fransiska,
Nimesoma kwa makini ujumbe wako, kitu
ambacho nimekiona mara moja ni hili tatizo la
gari kuzimika ghafla. Kwanini uendeshe gari na
baada ya muda mfupi lizime? Hapa kuna
matatizo kadha wa kadha ambayo yanaweza
kuwa chanzo. Inawezekana plag mbovu au uchafu
umeingia kwenye mrija unaopeleka mafuta
kwenye injin. Au pengine ni tatizo la umeme, au
fuel pump, ulicheki kama petroli ipo? Ikiwezekana
waone mafundi warekebishe hivyo nilivyovitaja.
Nategemea ushauri huo utakusaidia mwanangu.

Monday, January 26, 2015

Bado Mtama

1. Bibi kapigwa mtama na kibaka na kuporwa simu yake.

2. Bibi akaanza kumfukuza.

3. Baada ya kuona bibi hachoki kibaka akatupa simu chini na kuendelea kukimbia.

4. Bibi akaokota simu yake na kuendelea kumfukuza tena.

5. Kibaka akauliza. '' Bibi unataka nini, Simu yako c nishakurudishia?''

6. Bibi akajibu '' Bado mtama''
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

Wednesday, January 21, 2015

KUSANYA NGUO

Mume na mke wagombana, mume akamwambia mkewe KUSANYA NGUO ZAKO..... mara simu ya mke ikaita akaweka loud speaker ni babake akasema BINTI YANGU ILE BEACH PLOT ISHAUZIKA, KESHO NTAWAPA MILIONI SITINI MFUNGUE MRADI NA MUMEO... ikakatika, mke akaanza umenambia nikusanye nguo kisha iweje? KUSANYA NGUO ZAKO UNIPE NIKUFULIE MKE WANGU....

Nasajili line

Vuta picha umelala mida Ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni unafika mlangoni na maumivu ya kidole na uchovu + hasira+hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za tigo & Vodacom!
UTAFANYAJE!?