tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, April 22, 2015

najitekenya

Nimekaa na mshikaji siti moja kwenye daladala, mshikaji bonge ya baunsa alafu anamokovu kama gogo la kukatia nyama buchani. amevaa heard phone masikioni naona anatikisa kichwa tu, ghafla kwa sauti kubwa nasikia anaimba "alinifunza mama niwaogope sana wanaume...." Nimeshindwa kuvumilia nimeweka mikono yangu yote kwapani nikaanza kucheka kwa nguvu kanijeukia kwa hasira akaniuliza "we dogo unacheka nini?" Nikamjibu kinyonge "najitekenya."