tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, February 6, 2011

Fundi Bomba.

fundi bomba alikuwa akitengeneza bomba la bafuni nyumbani kwa Zena. Zena akamfuata na kumwambia "naweza kuoga wakati wewe ukila chakula cha mcahana?"
Fundi akajibu: "bila shaka unaweza, ila tahadhari maji yasiingie kwenye chakula changu.