tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, April 1, 2015

Wanafunzi wanafanya nini wanaporudi nyumbani.

Mwalimu anawauliza wanafunzi wake huwa wanafanya nini wanaporudi kutoka shule!?

Wa Kwanza; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Hermany kununua bangi!

Wa Pili; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua madawa ya kulevya!

Wa tatu; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua Gongo!

Wa nne; "Mm huwa nakwenda kwa Paul Herman kununua mirungi!

Wa tano; "Mm huwa nakaa tu nyumbani najisomea vitabu huku nafanya biashara ndogo ndogo za kunipatia hela ya matumizi.

Mwl; "Hongera sana kijana, una akili sana wewe! Unaitwa nani!?

Kijana akajibu; "Naitwa Paul Herman