tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, February 6, 2011

Yesu Wangu

Mapadre wa kanisa moja walikuwa wanasafiri kwa basi lakini kabla ya kuanza safari yao kiongozi wao akawaambia , "mkiona mwanamke amevaa vibaya, anatembea kwa mwendo wa majaribu wa kishetani, msimwangalie sana bali mtake msaada wa Bwana kwa kusema 'Yesu Wangu'".
Safari ikaanza, baada ya dakika kadhaa padre mmoja akasema "Yesu Wangu". wenzake wote wakajeuka wakitizama nje na kumuuliza, "yupo wapi?"