tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, January 21, 2015

KUSANYA NGUO

Mume na mke wagombana, mume akamwambia mkewe KUSANYA NGUO ZAKO..... mara simu ya mke ikaita akaweka loud speaker ni babake akasema BINTI YANGU ILE BEACH PLOT ISHAUZIKA, KESHO NTAWAPA MILIONI SITINI MFUNGUE MRADI NA MUMEO... ikakatika, mke akaanza umenambia nikusanye nguo kisha iweje? KUSANYA NGUO ZAKO UNIPE NIKUFULIE MKE WANGU....