tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, January 26, 2015

Bado Mtama

1. Bibi kapigwa mtama na kibaka na kuporwa simu yake.

2. Bibi akaanza kumfukuza.

3. Baada ya kuona bibi hachoki kibaka akatupa simu chini na kuendelea kukimbia.

4. Bibi akaokota simu yake na kuendelea kumfukuza tena.

5. Kibaka akauliza. '' Bibi unataka nini, Simu yako c nishakurudishia?''

6. Bibi akajibu '' Bado mtama''
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania