tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, October 7, 2010

Utani Kwa Wachagga!

Mzee mmoja toka Machame (Bwana Oforo) ambaye alikuwa
mkali sana kwa binti yake aitwae Manka, anaamka
asubuhi na kutaarifiwa kwamba binti yake ana mimba!

Bwana Oforo: "Aisee we Manka, nakwenda kazini,
nikirudi leo ni lazima uniambie ni nani kafanya uchafu
huu" Anafoka na kuondoka kuelekea ofisini.

Mchana akapigiwa simu na Mama Manka na kuambiwa kwamba
yule jamaa aliyempa mimba bintiye yupo nyumbani
anamsubiri kwa mazungumzo!

Mzee akachukua panga lake na kulinoa kabisaaa kwa
ajili ya kwenda kumteketeza mwanaharamu huyo.

Kufika nyumbani mambo yanakuwa hivi:

Kijana aliyempa mimba binti: "Mmmh Mzee ni kweli mi
ndiye nimempa mimba binti yako, na kusema kweli sina
mpango wa kumuoa. Lakini akizaa mtoto wa kiume
nitakupa TShs 1 million na ghorofa Kariakoo kisha
nachukua mtoto. Akizaa mtoto wa kike nakupa TShs 1
million na duka Sinza! Lakini je mzee, ikitokea bahati
mbaya mimba hii ikaharibika itakuwaje? "
Mzee Oforo: "Aisee babaangu eeeh itabidi tu umpe mimba
nyingine, hakuna jinsi!"