tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, July 23, 2015

Sosi zako

KWENYE DALADALA SIMU YA ABIRIA INAITA.

Abiria: hellow, hellow, mke wangu...sikusikii.

(Ikabidi awake loudspeaker ya simu)

Upande Wa Pili:

Mke sasa: Sosi zako umezivulia wapi? Nyumba nzima inanuka.