tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, April 22, 2015

Kilaza

Kuna kijana mmoja alikua anaitwa said kijana huyo shulen kwao wanafunzi wenzake hata mwalimu wake hakuna aliekua anampenda coz alikua kilaza sana...siku moja mama yake alikwenda shulen kwao kufuatilia maendeleo yake mwalimu wake hakumficha akamwambia ukweli kuwa tangu aanze kufundisha hajawah kufundisha mtoto kilaza kama huyo...mama yake akamuhamisha shule na kumuamisha mji kabisa.....miaka 25 baadae yule mwalimu alikua anaumwa na madaktar walimshaur kuwa njia pekee ya yeye kupona ni kufanyiwa operation ya moyo na dr pekee ni mmoja anaeweza fanya hio....mwalimu akafanyiwa operation vizur na alipozinduka alimuona daktar akitabasam mbele yake ghafla daktar alianza kushangaa mwalimu akinza kubadilika ghafla akakata roho yule dkt alipoangalia kujua nin tatizo akamuona said aliekua mfagiaji pale akichomoa waya wa oxygen na kuchomeka simu yake chaji
.....
Kama ulifikir doctor alikua said nawe ni kilaza