tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, February 6, 2011

Nani Mwoga?

siku moja mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga kuliko mwenzie, mume akasema mke ndio muoga zaidi na mke akasema mume ndio muoga zaidi. wakaamua kuwauliza watoto wao.
Baba: jamani kati yangu mimi na mama yenu nani muoga zaidi?
Mtoto wa kwanza: mama ndio muoga kwa sababu anaogopa hata kutoka nje usiku baba akiwa amesafiri.
Mtoto wa pili: mimi naona baba ndio muoga zaidi, maana anaogopa hata kulala peke yake mama akiwa amesafiri anamuita dada (msichana wa kazi) analala nae hadi asubuhi.