tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, January 20, 2011

Mumin na Padri

Mumini alienda kuungama kwa Padri, maungamo yalikuwa hivi.
mumini;- Naungama kwa Mungu wangu na Padri wangu kwakua nimetenda dhambi, zambi  zangu ni hizi, nimehifadhi picha za ngono kwenye simu yangu na pia nina sms za matusi kwenye simu yangu.
Padri:- aka mwambia kwa sauti ya kunon'goneza NIFOADIEEEEE

from Wendo by sms.