tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, June 14, 2013

Dalili Za Mtu anaevuta Bangi

1.Ukiona mtu anapenda kutembea na vibiriti lkn sio mvuta sigara ujue kuna k2
2.Ukiona mtu anampenda bob marley lkn apendi reggae ujue kuna k2
3.Ukiona mtu anazungumzia kwenda south africa ikiwa hata nauli ya kumfikisha karaikoo hana ujue kuna k2
4.Ukiona mtu ugomvi wake wa silaha ujue kuna k2
5.Ukiona mtu aeleweki cku nyingine mpole cku nyingine mkali ujue kuna k2
6.Ukiona mtu anampenda tupac lkn apendi hip hop ujue kuna k2
7.Ukiona mtu____________­_. malizia na wewe.
#sio wote ila zaidi ya 99% ni bangi.