tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, February 6, 2011

lina habari motomoto

Jonh alinunua gazeti na kwenda nalo nyumbani Asha, alipo fika akaliweka kwenye friji. Asha akashangazwa na jambo hilo na kuamua kumuuliza Jonh, "mbona umeweka gazeti kwenye  friji?"
Jonh: "wameandika lina habari motomoto, acha  zipoe kidigo nizisome.