tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, January 29, 2015

Msichana wa Kitanzania.

Msichana wa kizungu ataandika facebook: “nakupenda sana Tom”…. Msichana wa kitanzania nae ataandika: “nakupenda sana ……….. unajijua  mwenyewe sio lazima nikutaje”. Lini wasichana wa kitanzania wataacha kuuwa ndege wengi kwa jiwe moja?