tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, January 29, 2015

ATM

Bishoo aliingia kwenye chumba cha mazoezi ya viungo, akamuuliza mwalimu: ‘nataka kuvutia wasichana, natumia mashine gani?

Mwalimu wa mazoezi: tumia ATM