tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, June 1, 2013

wewe mwanaume

Hepu leo tuwe wakweli, hasa wewe mwanaume unaesoma hii. Ivi wanawake zako wote wakitaka uwanunulie vin’gamuzi au smartphone, kaka si utakuwa wakala?