tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, June 14, 2013

konda amekudai nauli?

Kuna msichana kilipanda daladala kikaenda kukaa
mwsho kabtha.
Lakin kwa mbele alimu0na m2 amefanana na boy
wake...alimtegea yule mtu ageuke ili upate
uhakika lakn yule m2 muda wote aliinamia simu
yake.
Ndipo uzalendo ulimshnda akamtext
"beby uko nyumban?"
"ndiyo vip kwan mbona unauliza?"
"nimepanda bajaji nw naenda mwenge huyu
dereva amefanana na wew sana"
"ooh dat guud...vip konda amekudai nauli??"
"mmmh kwanin?"
"nimemwambia akate wawili"