tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, June 1, 2013

mke mwema anatoka kwa bwana

Jamaa aliulizwa na nduguye “utaoa lini” akajibui “nasubiri mke aliyeachika” nduguze wakashangaa sana wakamuuliza kwa nini? Akajibu “mke mwema anatoka kwa bwana.”