tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, June 7, 2013

tuoane miaka mitano

Mke alikuwa akifanya usafi nyumbani
kwake,
kwa bahati akakuta kibox kidogo chini ya
mvungu wa kitanda, alipokifungua alikuta kuna
mayai matano na shilngi milioni mbili.
Mumewe aliporudi alimuuliza kuhusu kile kisanduku
na mayai ni ya nini?
Yule bwana akamjibu mkewe kwamba, alijiwekea
utaratibu kuwa kila akitoka nje ya ndoa ananunua
yai moja na kulihifadhi mle katika kisanduku.
Mkewe akiwa na furaha akamwambia duh! yaani
tangu tuoane miaka mitano iliyopita umetoka nje
ya
ndoa mara tano tu!
Kumbe wale walikuwa wananiambia kuwa wewe ni
malaya sana hawakuwa sahihi ni wachonganishi
tu...
Mke akauliza, haya na hizi shilingi milioni mbili ni za
nini?
Mume: Huwa nayauza yale mayai pindi yakiwa
mengi
na fedha naweka humo...!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania