tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

Una mke?

Jamaa kakaa zaidi ya mwezi mmoja bila mashine yake kusimama ikabidi aende hospitali.
Jamaa: Dkt ninamwezi mmoja mashine haijasimama
Dkt: Una mke?
Jamaa: Hapana
Dkt: Una demu?
Jamaa: Hapana
Dkt: Unajichua au unafanya starehe yoyote kwa kutumia hii mashine?
Jamaa: Hapana
Dkt: We mpumbavu nini, sasa unataka isimame utundikie koti au? Hebu toka hapa