tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

Na mimi si nitafiwa tu

Jamaa alienda kwenye msiba wahusika wakamnyima chakula wakamwambia hichi ni cha wanandugu watakula jioni, jamaa akaondoka kwa hasira huku akisema hamna shida na mimi si nitafiwa tu.