tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

je wew unamjua George?

Baba alikuw amekaa sebulen mtoto wake akawa ametoka shule aka msalimia baba akamwambia mwanae unasoma kwel mwanae akamwambia ndio baba baba akamuliza 11 x 11=na ngap?mtoto akajibu 1111!baba akasema kwel mwanang hauko makin na masomo!baada ya dakik chache mtoto akamuuliza baba, je wew unamjua George? baba akamwambia simjua basi mtoto akamwambia baba yake na wewe haupo makini na mama.