tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

mpumbavu mkubwa wewe

mlevi alimuamsha mkewe usiku ampeleke chooni, mkewe akakataa mlevi ikambidi aende mwenyewe alivyo rudi akamwambia mkewe choo umekiwekea marembo na wewe mwanamke kwa kupenda vitu vya kisasa,
mkewe akamuuliza gani umeona mpaka wasema hivyo?
mlevi: akasema nilivyo ingia chooni taa iliwaka yenyewe na nilivyotoka tu taa ikajizima
mkewe:mpumbavu mkubwa wewe ushalikojolea friji langu