tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

Oscar alikuwa na mke wa rafiki yake gest,

Oscar alikuwa na mke wa rafiki yake gest,
ghafla simu ya huyo mwanamke ikaita.

mwanamke: Haloo , ok, sawa, alaaaa , ok have a
nice time jamani msalimie mwambie na mimi
mnitoe out siku moja. Ok sweety, miss you.
Oscar:Nani huyo?
Mwanamke:Mume wangu huyo, ananambia yuko
na wewe Morogoro mmeamua kulala huko leo.