tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

mlevi alikuwa anatembea

mlevi alikuwa anatembea akaangukia kwenye pipa la takataka, makalio yakabaki juu na huku suruali imemshuka, baada ya muda akapita kicha alipoyaona yale makalio akaenda kuyashika, akaondoka akisikitika huku anasema kweli huu mtaa wa matajiri, matako mazima kabisa yametubwa kwenye takataka.