tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

Abdalh alimwona mrembo

Abdalh  alimwona mrembo akitaka kujirusha mtoni alikua kavaa vizuri, miniskirt ndogo kweli. Abdalh
akamwambia, kabla hajajiua, ampe busu akapewa busu
mdomoni.
Abdalh, "mrembo, mbona unataka
kujirusha mtoni."
mrembo akajibu, "kwasababu
wazazi wangu hawapendi mimi nivae kama mwanamke.! "Hehehe Abdalh kusikia hivyo si akajirusha mtoni.