tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, July 21, 2012

Kizungu ni noma duh!

Kizungu ni noma duh!.. Jamaa katumiwa msg na demu wake kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishon ikaandika "some text missing" jamaa kizungu hajui hvyo maneno ya mwisho hakuyaelewa maana yake lakin akahc litakua neno la kimahaba, kusudi aonekane mjanja akajibu "some text missing too dear"