tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, May 22, 2014

ugonjwa huu mbaya

bibi alikua anafua nguo za mjukuu wake ambae anaugua ukimwi katika fua fua akakutana na bikini, bibi akasema ugonjwa huu mbaya unakondesha mpaka chupi.