tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, May 23, 2014

nani msaliti

Hebu nisaidie kuamua kesi hii. Mtu na mkewe wamelala, katikati ya usiku mke akaweweseka "wewe amka tena uondoke mume wangu anakuja" Ghafla mume nae akakurupuka akanyakua nguo zake na kurukia dirishani. Kufika nje mume akakumbuka aaah!! Kumbe leo nimelala nyumbani. Je! Kati yao nani msaliti wa mwenziwe?