tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, May 22, 2014

Hata sijui

Mlevi mmoja alianguka toka kwenye ghorofa, fasta fasta watu wakamfuata kumsaidia, wakamuuliza VP IMEKUAJE?
Mlevi akajibu:

”HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASAHIVI…”