tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, May 20, 2014

Ohoo masikini umemezasoksi yangu

Siku ya harusi ilikuwa inakaribia,
lakini bwana harusi na bibi
harusi wote walikuwa natatizo
kubwa sana la siri, kila mmoja kichwa
kinamuuma itakuwaje ndoa
ikiianza. Bwana harusi akaenda kwa baba yake;
BWANA HARUSI: Baba ninatatizo nitafanyaje?
BABA: Tatizo gani mwanangu?
BWANA HARUSI: Baba nina
tatizo miguu yangu inanuka sana si mke
atanikimbia baada ya wiki
BABA: Uwe unaosha mara kwa mara harufu
itatoka
BWANA HARUSI:Baba hujui,harufu ni mbaya sana
BABA: Basi uwe unavaa soksi daima...jamaa
akaona hili linaweza
likanasaidia. Bibi harusi akaenda kwa mama yake;
BIHARUSI: Mama nina tatizo kubwa nikiamka
asubuhi mdomo
wangu unanuka mme atanikimbia
MAMA: Kila mtu akiamka asubuhi mdomo
unanuka hilo si tatizo.
BIHARUSI: Mama huelewi domo langu linanuka
unaweza
kufikiri panya kafa
MAMA: Basi ukiamka asubuhi usifungue mdomo
mpaka upige mswaki kwanza...
.Wapen zi hawa wakaoana na kila mmoja
akashilia ushauri mambo
yakawa powa.Siku moja baada ya miezi mitatu,
mume aliamka asubuhi
akagundua soksi moja imevuka, akahangaika
awahi
kuipata kabla mkewe hajaamka, bahati mbaya
mke akaamka;
MUME: Samahani umenionea
soksi?
MKE: Hapana,......ma ra harufu
mbaya ikaenea,
MUME: Ohoo masikini umemeza
soksi yangu.