tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, May 19, 2014

Nataka kuruka

Jamaa mmoja alikua ana safiri kutoka kigoma kwenda DAR kwa treni walipofika katikati ya safari mambo yalikuwa hivi Jamaa- Nataka kuruka(maana yake ni kutapika kwa lugha ya waha) Abiria.-
jamani kamateni huyo anataka kuruka nje
Abiria wote walimshika kwa nguvu ili jamaa asijirushe nje baada yamda jamaa akatapika na kuchafua hewa ndani ya tren abiria wote walibaki na mshangao.