tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, May 22, 2014

dola 20

Mlev huyu kila anapoenda kilabun lazima anywe zimshinde had kutapika...mke wake hapend sana kufua mashati alotapikia...akawa anaondoka tena ..mke wake akamsisitzia asitapikie shati...jamaa akalewa akajisahau akatapika...akaanza kujilaumu...rafiki ake akamtell...chukua hio dola 20 mpe mkeo afu umtel ka kuna mlevi kakutapikia na akakupa dola 20 ya kusafishia...jamaa akarudi hom kumkuta waifu anamsubiri...
Mke: ehe! Jitu zima ovyo...umejitapikia tena kwa shat mpya we vip!!
Jamaa: hapana mke wangu,,,kuna mtu kanitapikia afu kasema uchukue hii hela ya kufulia...
(mke akachukua hela kukuta ni dola 20 mbili tofauti)
Mke: sasa mbona zipo mbili?

Jamaa: oh! Na hio ni yule mlevi mwingine alieninyea ndan ya suruali...