tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, May 20, 2014

KAMEKUJA NA CHAJA YAKE

Jamaa aliona katoto kachanga kametoka kuzaliwa kakiwa bado
hakajakatwa kitovu akaropoka eti ,
"Hee ONENI, KAMEKUJA NA CHAJA YAKE"..