tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, May 22, 2014

uamuziii gani utachukua

ukiwa huna hili wala lile unashtuka na kofi moja zito la uso linakupeleka kufumba macho, kabla huja kaa sawa inakuja ngumi ya uso halafu unasikia sauti ya anae kupiga ikisema NILIKWAMBIA IPO SIKU NITAKUKAMATA TU ile kuinua sura unakutana na sura usiyoifahamu kabisaaaaa!!! halafu na yeye anashtuka baada ya kukuona kisha anakwambia SAMAHANI NIMEKUFANANISHA


Je ni uamuziii gani utachukua....