tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, May 21, 2014

ndiye aliyegundua

ni kweli kwamba
Mtenda dhambi ndiye aliyegundua "Kutubu?"

mfupi nae akagundua "ngazi"?

Mvivu ndiye aliyegundua "Kuiba"?

Mpweke ndiye aliyegundua "Kupenda"?

Mjinga ndiye aliyegundua "Kusoma"?

Masikini ndiye aliyegundua "Kuombaomba"?

Asiyejua kutongoza ndiye aliyegundua 'kubaka'?

Na malaya ndie alie gundua 'condom'?

sasa nikuulize mwenzangu, Je wewe mpaka leo hii umegundua nini?Usicheke tusaidiane