tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, May 22, 2014

bodaboda inaweza kuwa ambulance

Usije kariri hata siku moja kwamba 3x1 ni sawa na 1x3 kama huamini kuwa si sawa fanya hivi kama una malaria kali nenda hospital wakikupatia qunine wakakwambia meza 1x3 wewe meza 3x1 hapo ndo utajua kwamba bodaboda inaweza kuwa ambulance.