tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

Unawaza nini?

Vipi mpendwa? Naona umetulia. Unawaza nini? Usihofu kama ni gari tengeneza hata la udongo na kama ndege nunua ata njiwa naye ni ndege na wewe ujidai, mimi mwenzio sina mawazo tena ninamiliki nyumba 3 mbili zakawaida 1 ya golofa zote zakuchora kwenye karatas. mvuvi hakuwa mjinga kuchonga mtumbw. nae alitaman meli