tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

Msichana wa Kingoni

Msichana wa Kingoni noma kweli !!... kafumwa na Bwana ake anasaliti ndoa yao sa ile katika kujitetea anamwambia bwana ake 'We Baba Nanii wewe yaani Mwenzio alivyokuwa anabembeleza hata Ung'ekuwa Wewe ung'empa!!