tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

Maisha ya dar es Salaam

Maisha ya DAR tunayajua wenyewe jamani!

hongera walio "SHAMBA" Ambako wanachinja "KUKU" Na Kuliwa Nyumba Hiyo Hiyo!

Hapa Dar "KUKU" Anachinjwa "KISUTU"

Shingo Inaliwa "KINONDONI"

Kibawa kinaliwa "MANZESE"

Kidari "TABATA

Paja "OYSTERBAY"

Firigisi "MASAKI"

Miguu "MBAGALA"

Mbavu "MIKOCHENI"

Utumbo "TANDIKA"

Kichwa "TANDALE"

Mgongo "MWENGE"

Ngozi
"KEKO"

CHEZEA DAR WEWE, MSOSI WAKE KAMA MGAO WA "UMEME" KILA MTU LAZIMA APATE.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania