tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

niko Samaki Samaki

BOY: Hello baby boo.... Uko wapi???
Nimekumiss.
GIRL: mpenzi niko Samaki Samaki hapa
napata Lunch, then namsubiria driver
wangu aje kunichukua anipeleke Chuo...
We uko wapi?
BOY: Nipo Siti ya nyuma ndani ya hii Dala
dala ya Mbagala Uliyopanda, Nilitaka
kukwambia nimeishakulipia Nauli......
Usilipe