tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

Kuchimba shimo

Mwalimu: Kama inachukua siku 3 kwa Wanaume 10
kuchimba shimo la futi 12. Je!, itachukua siku ngapi wanaume wa 5 kuchimba shimo hilo..?

John: Wala hawatochukua muda wowote kwa sababu
shimo lishachimbwa na wale wanaume 10...!!!