tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

kuku ni jamii ya NDEGE,

Mwalimu alimuuliza MADENGE: kuku ni jamii ya NDEGE,
je?
SAMAKI ni jamii ya nini?Madenge: akacheka sana kwa dharau kisha akajibu "itakuwa jamii ya MELI".