tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 12, 2013

Jamaa kaingia kwa dokta.

JAMAA: Dr nina tatizo huku sirini
Dr: Hebu vua nguo tuone.
JAMAA: poa navua ila pliz usicheke,narudia usicheke.
DK: Ucjali hii ndo kazi yangu siwezi kucheka mgonjwa. Jamaa akavua suruali,dk kuona tu, maadili yakamshinda! akaanza kucheka vibaya kama dakika 5 hadi machozi! kwani kamjomba ka jamaa kalikuwa kadogoo,
kama njiti ya kiberit
alipomaliza kucheka akamuliza haya, tatizo nn?
JAMAA: Imevimba tokea juzi! Dokta akazimia!