tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, September 18, 2016

Vipofu

Jion ya jana niliwakuta  vipofu wawili wakipigana
Basi nikapaza sauti na kusema ninamsapoti huyo aliye na kisu
Ghafla wote wakaanza kukimbia mmoja kule mwingne huko.
Ila hakuna aliyekuwa na  kisu

Huwa sipendagi ugomvi mimi