tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, September 23, 2016

Nani aliuwa Goliath

WAZAZI PELEKENI WATOTO SUNDAY SCHOOL PLEASE!!

TEACHER: Nani aliuwa Goliath......
STUDENT 1: Sio mimi.
STUDENT 2: Sikuwa shule jana. .
STUDENT 3: Mimi sijui.

(The Teacher went and told the Headmaster ati watoto wa hio class hawajui nani aliuwa Goliath.) ... ( headteacher goes to the class.)

HEADTEACHER: Nani aliuwa Goliath.
CLASS: Sio sisi.
H.TEACHER: Mkikosa kuniambia hii darasa itawaka moto.
CLASS: Hatujui teacher.

The H.TEACHER turns and asks the teacher....

"Uko sure Goliath aliuliwa na mtu wa hii
darasa?"

The teacher fainted...