tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, September 19, 2016

Nyumba za kupanga

UTAMU WA NYUMBA ZA KUPANGA!
Jana neighbor yangu alikuja
akaniambia nipunguze sauti ya radio
anataka kulala.
Leo anapika chapat na mimi
nmemwambia apunguze harufu ya
chapati nataka kula ugali. sipendi ujinga ajue.