tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, September 4, 2016

Panya

Nimeingia chumban  nikakuta panya wamekula dawa yangu ya menoo, Na mimi nimechukua yakwao nikanywa. Sipendagi ujinga mimi