tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, September 13, 2016

Friji

WABONGO KWELI MTIHANI
SINA HAMU NAO...!!

Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokana na lile la zamani, basi akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao:

"ANAYE TAKA KUCHUKUA, ACHUKUE BURE"

Watu wakawa wanapita wanafungua lakini kila mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna aliyeamini mtu anaweza akagawa friji zima bure.

Baada ya kuona wiki imepita halijachukuliwa, akahamua kubadilisha kibao na kuandika:

FRIJI LINAUZWA SHILINGI LAKI MBILI NA NUSU TU

Usiku ule ule likaibwa